KALENGA KUMEKUCHA
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) hatimaye kimemteua ndugu Luka Sinkala Mwenda kuwa mgombea ubunge kupitia Chama hicho katika jimbo la Kalenga. Kwa taaluma bwana Mwenda ni mwanasheria.
Wednesday, February 12, 2014
Tuesday, March 30, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)